iqna

IQNA

al kahf
Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Aya ya 21 ya Surah Al-Kahf inabainisha kwamba kujenga msikiti katika makaburi ya watu watukufu na mawalii wa Mwenyezi Mungu sio tu inajuzu bali pia ni jambo ambalo inapendekezwa (Mustahabb).
Habari ID: 3475871    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/02